Watu wasiopungua 13 wamekufa na wengine 31 wamejeruhiwa kwenye ajali ya basi la watalii kugongana na lori, iliyotokea kusini mwa California jana asubuhi. Basi hilo liligongana na lori la kusafirisha vifaa vya uchimbaji mafuta karibu na Palm Springs, maili 100 mashariki mwa Los Angeles.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |