Rais Xi Jinping wa China ametuma salamu za rambirambi kwa mwenzake wa Cameroon Paul Biya kufuatia ajali ya treni iliyotokea nchini humo, ambayo hadi sasa imesababisha vifo vya watu 79.
Kwenye salamu zake, rais Xi kwa niaba ya serikali ya China na wananchi wake aliomboleza vifo vya watu waliofariki na kuwapa pole watu waliojeruhiwa na familia za wahanga.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |