Pia imesema waokoaji wamepata mwili mmoja wa mtoto mchanga na idadi ya vifo ikaongezeka na kufikia 80 na wengine zaidi ya 500 wamejeruhiwa.
Jana ilitangazwa kuwa siku ya maombolezo ya taifa, bendera kwenye idara mbalimbali ndani na nje ya nchi zilipepea nusu mlingoti kuwaomboleza wahanga hao.
Vyombo kadhaa vya habari vimesema inawezekana kuwa idara ya usafiri iliongeza mabehewa ili kupunguza msongamano wa abiria.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |