Kiini cha tetemeko hilo kiko kwenye kina cha kilomita 10 chini cha ardhi kwenye mpaka wa mikoa ya Macerata na Perugia.
Watu kadhaa wamejeruhiwa huku majengo mengi yakibomoka katika totomeko hilo. Majengo mengi yaliyobomoka yako kwenye miji mdogo iliyo karibu na kiini cha tetemeko, na baadhi yao yana thamani kubwa ya kihistoria.
Tetemeko hilo ni la nne kutokea katika miezi miwili iliyopita, na pia ni tetemeko lenye nguvu zaidi nchini humo tangu mwaka 1980.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |