Rais Xi Jinping wa China amekutana na naibu waziri mkuu wa Hispania Bibi Soraya Sáenz katika kisiwa cha Grand Canaria nchini Hispania. Rais Xi amesema China na Hispania zinatakiwa kudumisha mawasiliano ya viongozi, kuzidisha maelewano na uaminifu wa kisiasa, na kupanua ushirikiano, na kuongeza ushirikiano kwenye sekta za kilimo, sayansi na teknolojia, nishati safi na utalii.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |