Kiongozi wa eneo la Chechnya nchini Russia Bw. Ramzan Kadyrov amesema, kikundi cha watu wenye uhusiano na kundi la Islamic State waliwashambulia maofisa wa polisi na kufyatuliana risasi na polisi mjini Grozny Jumamosi usiku hadi Jumapili alfajiri, ambapo washambuliaji 7 waliuawa, wengine wanne walikamatwa na ofisa mmoja wa polisi alipoteza maisha kwenye mapigano hayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |