• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Klabu ya Arsenal yamkosa tena Mshambuliaji Julian Draxler

    (GMT+08:00) 2016-12-22 08:46:52

    Mshambuliaji Julian Draxler ambaye alikuwa akifukuziwa na klabu ya Arsenal yupo njiani kujiunga na mabingwa wa Ufaransa PSG. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ujerumani ameshakubali mkataba wa miaka minne kukipiga PSG ingawa klabu yake ya Wolfsburg imesema kuwa mchezaji wake huyo hataondoka bila ya paundi milioni 34.

    Julian Draxler ana miaka 23 na amekuwa akiwindwa na Arsenal kwenye kila dirisha la usajili linapowadia.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako