Mchezaji huyu alinyakua kiatu cha dhahabu baada ya kumaliza mashindano hayo na mabao sita, jijini Nairobi.
Baadhi ya mabao Ojwang alifunga ni matatu katika ushindi wa Gor wa mabao 5-1 dhidi ya Ulinzi Stars katika mechi za makundi na bao moja dhidi ya Mathare United katika nusu-fainali.
Mchezaji mwenzake Nahashon Thiong'o alimaliza mashindano na magoli matano.
timu ya Ingwe iliibuka mshindi wa pili wakati Gor Mahia ilimaliza nafasi ya tatu .
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |