Phelan, mwenye umri wa miaka 54, alichukua nafasi ya Steve Bruce, kama kocha wa muda na baadaye mwezi Oktoba akapewa mkataba wa kudumu. Uongozi wa Hull, umesema kwa sasa unatafuta kocha mwingine, wa kurithi nafasi hiyo.
Hull ipo kwenye nafasi ya kushuka daraja wakifanya vibaya zaidi katika michezo tisa iliyopita, na ndiyo sababu iliyomuondoa Phelan, aliyeshinda tuzo ya kocha bora wa mwezi Agosti.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |