Siku ya Jumatatu, gazeti moja la Uholanzi De Telegraaf lilisema Van Gaal amemaliza muda wake wa ukufunzi na amestaafu kama mkufunzi, hatua iliyoshinikizwa na kifo cha mwanawe.
Lakini alikiambia kituo kimoja cha redio nchini Uhispania Cadena Ser kwamba ijapokuwa kustaafu kunawezekana bado hajaamua. Raia huyo wa Uholanzi pia alibainisha kuwa amekataa kuifunza klabu ya Uhispania Valencia mwezi uliopita.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |