Jesus amehamia City kutoka klabu ya Palmeiras ya Brazil kwa £27m.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Brazil alikubali kuhamia City kwa mkataba wa miaka mitano Agosti mwaka jana.
Alisalia na Palmeiras hadi mwisho wa msimu wa soka Brazill mwezi Desemba.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |