Aidha Van Basten pia anaona kuna haja kubwa kwa FIFA kubadili aina ya upigaji wa penati na kutaka mpiga penati auweke mpira mita 25 kabla ya goli na kama anaweza atembee nao kuelekea golini kwa muda usiozidi sekunde nane. Kupunguza adhabu mipira ya kushika.Van Basten anataka kadi iwe ya njano.
Kapteni awe mtu pekee kuongea na mwamuzi. Kupunguza idadi ya mechi kutoka 80 kwa msimu hadi 50 kwa msimu. Hayo ni mapendekezo tu kutoka kwa mkurugenzi wa ufundi wa FIFA, na sasa atawasilisha mapendekezo hayo katika kamati ya FIFA yaweze kujadiliwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |