• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • OPEC kuendelea kupunguza uzalishaji wa mafuta

    (GMT+08:00) 2017-01-20 19:25:53

    Waziri wa nishati wa Saudi Arabia Khalid bin Abdulaziz Al Falih amesema, nchi wanachama wa Shirika la Nchi Zinazozalisha Mafuta kwa Wingi (OPEC) zitapunguza tena uzalishaji wa mafuta.

    Bw. Falih amesema, kama bei ya mafuta ikiendelea kushuka kutokana na kupungua kwa mahitaji, Saudi Arabia itaweza kusaini tena makubaliano ya kupunguza uzalishaji wa mafuta kama mwaka jana.

    Habari zinasema, nchi wanachama wa OPEC watakutana kwa mara nyingine mwezi Mei.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako