• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Waziri wa mambo ya nje wa China apuuza ujumbe uliopelekwa na Taiwan kuhudhuria kuapishwa kwa Trump

    (GMT+08:00) 2017-01-20 20:26:15

    Wizara ya mambo ya nje ya China imepuuza hatua ya Taiwan kupeleka ujumbe wake kwenye hafla ya kuapishwa kwa rais mteule wa Marekani Donald Trump, na kusema hatua hiyo inalenga kuvuruga uhusiano kati ya China na Marekani.

    Msemaji wa wizara hiyo Hua Chunying amesema, serikali ya Marekani imethibitisha kuwa itaalika mabalozi wa nchi za nje walioko nchini Marekani kuhuduria hafla hiyo, na haipendekezi nchi au sehemu nyingine kupeleka wawakilishi.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako