Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Antonio Guterres ametuma salamau za heri ya mwaka mpya kwa watu wa China. Katika salamu zake kwa njia ya ya video, Bw. Gutettes amesema, mwaka wa jogoo unaashiria kuanza mapema na mwanzo mpya, ambao unasisitiza umuhimu wa uhai, dhamira na uwajibikaji mkubwa katika kazi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |