Barca walikuwa wa kwanza kufunga katika Dakika ya 4 kupitia Messi lakini Leganes walisawazisha dakika ya 71 kwa Bao la Unai Lopez.
Barca walipata ushindi kwa hiyo Penati iliyotolewa baada Neymar kuangushwa ndani ya Boksi.
Kwa ushindi huu wa Barca dhidi ya Leganes, umewaweka nafasi ya Pili huku ikiwa Pointi 1 nyuma ya Real Madrid wenye Mechi 2 mkononi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |