• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matukio makubwa yaliyotokea wiki hii (25 Feb- 3 Machi)

    (GMT+08:00) 2017-03-03 19:56:23

    Omar al-Bashir, amteuwa makamu wake kuwa waziri mkuu

    Rais wa Sudan, Omar al-Bashir, amemteuwa makamu wake wa rais Bakri Hassan Saleh kuwa waziri mkuu wa nchi hiyo.

    Bwana Saleh ni mmoja wa mshirika wa karibu zaidi wa Bashir, na alihusika katika mapinduzi ya mwaka 1989 yaliyomleta mamlakani Omar Al Bashir.

    Huku wakiwa chini ya shinikizo kali kutoka kwa upinzani na jamii ya kimataifa, Bwana Mr Bashir amebuni cheo cha waziri mkuu, ambacho aliifutilia mbali mara tu baada ya kuingia uongozini kwa njia ya mapinduzi.

    Rais wa Gambia afanya ziara ya kiserikali nchini Senegal

    Rais wa Gambia Adama Barrow amefanya ziara ya kiserikali nchini Senegal Alhamisi wiki hii, kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Mawasiliano kwenye Ofisi ya rais wa Senegal Hamidou Elhadji Kassé.

    Bw Barrow aliwasili mjini Dakar Alhamisi wiki hii saa 4:00 asubuhi (saa za Afrika Magharibi).


    1 2 3 4 5 6 7
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako