Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Rex Tillerson, anatarajiwa kufanya ziara nchini China mwishoni mwa wiki hii.
Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Hua Chunying amesema, China na Marekani zitabadilishana maoni kuhusu uhusiano wa pande mbili pamoja na masuala ya kikanda na kimataifa yanayofuatiliwa na nchi hizo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |