Scott Marsden alipelekwa hospitalini baada ya kuhitaji matibabu ya dharura wakati wa pigano hilo lililofanyika mjini Leeds siku ya Jumamosi, Lakini akafariki baadaye.
Scott alikuwa mwanachama wa muungano wa Marsden All Styles Kickboxing mjini Sheffiled.
Rais wa muungano wa shirikisho la mchezo wa Kickboxing duniani nchini Uingereza WKA Jon Green anasema kuwa Scott alikuwa mpiganaji anayeheshimiwa sana na mchezaji maarufu.
Maafisa wa Polisi wa West Yorkshir waalisema wamechunguza kilichotokea lakini kifo chake inaonekana ni cha kawaida na hawamshuku mtu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |