Hata hivyo, Shirika la habari la Citizen limesema IOC itaendelea kuinyima NOC-K usaidizi wa kifedha kama ilivyotangaza juma lililopita kupitia barua iliyotiwa sahihi na Naibu wa Mkurugenzi Mkuu, Pere Miro na kuandikiwa rais wa NOC-K, Dkt Kipchoge Keino.
NOC-K inatarajiwa kuchagua maafisa wapya baada ya katiba hiyo kutipishwa. Kenya ilikuwa inakabiliwa na tishio la kupigwa marufuku na IOC kwa sababu maafisa wa NOC-K walikuwa wamekataa kurekebisha katiba.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |