Danielle Van De Donk aliifungia timu yake hiyo magoli matatu, magoli mengine yalifungwa na Danielle Carter aliyefunga goli 2, Dominique Jansse, Little Kim, Chloe Kelly, Beth Mead na Katie McCabe walifunga goli moja kila mmoja.
Ilikuwa usiku mbaya kwa Spurs, kwani katika ligi kuu ya Uingereza timu ya Wanaume nayo ilibamizwa goli 2-1 na Southampton.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |