Refa huyo alichezesha mechi hiyo November 12 mwaka jana mechi iliyomalizika kwa Afrika Kusini kupata ushindi wa goli 2-1, Lamptey amefungiwa na FIFA katika ngazi ya kitaifa na kimataifa anatajwa kuhusika na upangaji wa matokeo kwa kufanya maamuzi yake kinyume na sheria wakati wa mchezo huo.
Kutokana na makosa hayo, amefungiwa maisha kujihusisha na soka yaani kuanzia urefa hadi uongozi wa aina yoyote ule wa soka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |