Serikali ya Kenya imesaini kupokea mikopo ya dola milioni 800 kutoka kwa benki nne nchini humo
Benki hizo ni pamoja na Chartered, Standard Bank, Citi na Rand Merchant Bank .
Bado serikali haiatagaza masharti ya mikopo hiyo lakini inapanga kukopa hadi dola bilioni 1.4 kutoka nje ili kuziba mwanya wa bajeti.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |