Benki hiyo inapanga kutumia fedha kutoka kwa mauzo ya hisa hizo kujenga uwanja wa ndege wa Bugesera .
Kulingana na wizara ya fedha, asilimia 60% ya hisa ilinunuliwa na raia wa Rwana huku asilimia 40% ikiwaendea raia wa Afrika Mashariki.
Waziri wa fedha Claver Gatete amesema kununuliwa kupita kiasi kwa hisa hizo ni ishara ya kuwa na imani na uchumi wa Rwanda na pia sekta ya benki nchini hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |