Alikuwa mfanyakazi aliyeitumikia klabu hiyo kwa muda mrefu zaidi alipostaafu 1999. Alijiunga na benchi la wakufunzi Liverpool mwaka 1966 na mara mbili alihudumu kama meneja wa muda, baada ya Kenny Dalglish kujiuzulu 1991 na Graeme Souness alipofanyiwa upasuaji wa moyo 1992.
Mwanawe wa kiume amethibitisha kwamba alifariki mapema Jumatatu baada ya kuugua kwa muda mfupi. Alihudumu chini ya mameneja tisa tofauti alipokuwa benchi la kiufundi.
Aidha aliwaongoza Liverpool fainali ya Kombe la FA uwanjani Wembley mwaka 1992 akiwa meneja wa muda.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |