Naye Watson, ambae alifika raundi ya nne mwaka jana alipoteza kwa Mromania Patricia Maria, kwa seti tatu 7-6 (7-4) 6-1, kupoteza huko kwa Watson kutamshusha katika viwango vya ubora .
Kwa upande wa Aljaz Bedene amekua mwingereza wa tatu kuchapwa katika michuano hiyo baada ya kupoteza kwa Mjerumani Jan-Lennard Struff kwa 7-5 4-0
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |