Kocha wa Uganda Phillip Wokorach amesema wachezaji wake wako katika ari nzuri na matumaini ya kushinda katika mashindano hayo.
Mabingwa hao wamepangwa kundi E pamoja na timu za Tonga, Ujerumani na Jamaica. Huku wenyeji wa mashindano hayo Hong Kong wao wako katika kundi F pamoja na Chile, Sri Lanka na Namibia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |