Kufuzu 4 bora ya ligi kutawawezesha Man United kucheza UCL, UEFA CHAMPIONS LIGI msimu ujao lakini pia kutwaa EUROPA LIGI kutawapa nafasi hiyo pia.
Hivi sasa kwenye msimamo wa ligi hiyo, Man United wapo nafasi ya 5 wakiwa na Pointi 53 kwa mechi 28 wakati Man City wapo nafasi ya 4 wakiwa na Pointi 58 kwa mechi 29.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |