Konta mwenye umri wa miaka 25 alikua mwingereza wa kwanza kushinda taji la michuano ya wazi ya Miami kwa kumfunga Caroline Wozniacki jumamasi iliyopita.
Mchezaji huyo amesema michuano ya Charleston ni mashindano makubwa na alitarajia kushiriki lakini alikuwa akipambana na maumivu hayo toka kwenye michuano ya Miami kuanzia mwanzo hadi mwisho.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |