Appiah amepewa mkataba wa miaka miwili wa kuinoa timu ya taifa na ataanza kazi yake rasmi mei mosi mwaka huu.
Kocha huyu anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Avram Grant ambaye alijiuzulu baada ya kumalizika kwa fainali za michuano ya kombe la mataifa ya Afrika mwaka 2017.
Hi ni mara ya pili kwa kocha huyu kuinoa timu hiyo YA taifa, mara ya kwanza aliiongoza timu hiyo kuanzia mwaka 2012 mpaka 2014.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |