Vilabu vya Manchester City na Paris Saint-Germain vimeonyesha nia ya kutaka kumsajili beki wa klabu ya Real Madrid Pepe katika majira ya joto kwa mujibu wa Marca. Mreno huyo anamaliza mkataba wake na Real Madrid mwisho wa msimu huu na ameshakataa ofa kadhaa kutoka ligi ya China ili kuendelea kucheza soka Ulaya.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |