Aidha alitangaza kwamba serikali yake itatoa msaada wa euro milioni 20 kufadhili miradi mbalimbali nchini humo.
Rais Áder aliyasema hayo alipokutana na kufanya mazungumzo na balozi wa Uganda nchini humo Marcel Tibaleka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |