Kulingana na ripoti kutoka mnada wa kahawa Nairobi (NCE) inaonyesha mfuko wa kilo 50 ulikuwa unauzwa kwa sh 18,156 wiki ikilinganishwa na Sh21,624 katika uuzaji uliopita.
Hivi karibuni, kahawa nchini imeandikisha uuzaji wa bei ya chini ambayo imechangiwa maharage duni zinazoletwa na wakulima.
Mnada imekuwa ikifurahia maharage bora kutoka kati ya Kenya katika miezi mitatu iliyopita.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |