Sifa zimuendee mshambuliaji toka Ivory Coast Frederick Blagnon aliyetokea benchi na kwenda kufunga mabao mawili dakika za lala salama za mchezo kabla ya Muzamil Yassin kufunga goli la ushindi.
Mechi nyingine ilichezwa kati ya Azam na Mtibwa, na kutoka suluhu ya bila kufungana katika mchezo uliopigwa uwanja wa Manungu, Morogoro.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |