Magoli ya Arsenal yaliwekwa wavuni na Andros Townsend dakika ya 17, Yohan Cabaye dakika ya 63 na Luka Milivojevic kwa mkwaju wa penalti dakika ya 68. Kipigo hiki kinaifanya Arsenal kufungwa mechi nne mfululizo za ligi hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |