Muitaliano huyo aliongoza klabu ya Leicester kushinda ligi kuu msimu uliopita lakini akatimuliwa mwezi Februari.
Wakati Ranieri akifukuzwa kazi Leiceter ilikuwa pointi moja juu ya eneo la kushushwa ngazi la ligi kuu. Meneja msaidizi Craig Shakespeare alipewa kazi ya kuifunza timu hiyo na kuiongoza kushinda mechi tano za ligi kuu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |