Harambee Stars inajiandaa kupimana nguvu na timu ya taifa ya Malawi maarufu kama Frames katika mechi itakayochezwa April 18 mjini Machakos.
Naibu Katibu wa klabu hiyo, Ronald Ngala amesisitiza kwamba haitawaachilia wachezaji Boniface Oluoch, Mussa Mohamed, Harun Shakava, Ernest Wendo na Kenneth Muguna kujiunga na timu ya Taifa kwa vile mechi hiyo haitambuliwi na FIFA.
Kocha wa Harambee Stars Stanley Okumbi amesema mechi hiyo ni muhimu kwavile itasaidia kupima kiwango cha wachezaji wote kabla ya michuano ya CHAN itakayochezwa mwakani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |