Mkurugenzi wa mashindano hayo Nicholas Mbugua, amesema mashindano hayo yatashirikisha wachezaji 80 kutoka Kenya, Uganda, na Afrika Kusini.
Katika hatua nyingine, Chama cha Wachezaji Scrabble nchini Tanzania (TASPA) kimeahidi kuufufua mchezo huo hasa katika vyuo vikuu na shule za msingi na sekondari.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |