Yanga itawakosa wachezaji wake 7akiwemo Obrey Chirwa ambaye amekataa kusafiri kutokana na kutolipwa mshahara wa miezi mitatu anaodai.
yanga watatakiwa kulinda ushindi wao wa 1-0 walioshinda katika mechi ya mwanzo iliyochezwa jijini Dar es salaam wiki iliyopita.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |