Timu hiyo ya Rwanda ina ari ya kufanya vizuri mwaka huu katika mashindano mbalimbali ya Baiskeli. Kocha mkuu wa timu hiyo Sterrling Magnell amesema kuwa wanajiamini kufanya vizuri angalau kufanya vizuri kwa kila hatua, na kuwa amekwisha wapa mbinu bora zaidi wachezaji wake ili kuhakikisha wanarejea nyumbani Rwanda na ushindi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |