Barcelona walifungwa mabao 3-0 na Juventus ya Italia, hivyo Messi akabaki na mabao yake 97. Jana ikawa ni zamu ya Ronaldo ambaye amebadilisha namba.
Ronaldo amefunga mabao mawili wakati Real Madrid ikiiangukia Bayern Munich kwao Munich kwa kuichapa mabao 2-1.
Maana yake, Mreno huyo sasa ana mabao 100 ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ambayo ameyafunga akiwa na Manchester United na Real Madrid.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |