Hii inamaana kuwa Kenya ipo katika nafasi nzuri ya kutetea taji lake, itamenyana na timu ya Uingereza jumapili ijayo. Timu zingine ambazo zimefuzu robo fainali hiyo ni Fiji, Canada, New Zealand na Marekani.
Mashindano haya yatamalizika mwisho mwa mwezi Mei jijini London Uingereza.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |