Harambee Stars itatumia mchuano huu kama sehemu ya maandalizi yao ya mashindano ya Afrika ya wachezaji wanaosakata soka katika mataifa yao yatakayoandaliwa Kenya mwaka 2018.
Katika mechi hiyo, ambayo itahusisha wachezaji wa Kenya wanaocheza humu nchini pekee, Okumbi atakuwa akisaka kudumisha rekodi yake ya kutoshindwa hadi mechi 11.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |