Jumla ya wachezaji 39 watahusika kwenye majaribio hayo ya awamu ya kwanza ambayo ni sehemu ya kutafuta na kuandaa kikosi cha Kenya kitakachochuana na timu ya taifa ya Jordan inayoorodheshwa kuwa nafasi ya 52 duniani huku Kenya ikiwa katika nafasi ya 78 kwa viwango vya ubora vinavyotolewa na shirikisho la soka duniani FIFA.
Kikosi hicho cha Kenya kitawakilisha Kenya kwenye mechi za kimataifa siku za usoni.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |