Ili kufuzu duru zote 10 za raga za dunia za msimu 2017-2018 baada ya kushinda mchujo mjini Hong Kong mnamo April 9, Wahispania walitemwa kutoka raga za dunia baada ya kumaliza msimu wa 2013-2014 katika nafasi ya mwisho.
Shirikisho la Raga duniani (World Rugby) lilifanya droo ya Paris Sevens baada ya duru ya nane kukamilika nchini Singapore mnamo Jumapili, huku Canada ikitawazwa mshindi wa duru hiyo.
Kundi A: (Canada, Afrika Kusini, Scotland na Japan), kundi B: (Marekani, New Zealand, Wales na Argentina), huku kundi C lina timu kutoka (Uingereza, Kenya, Ufaransa na Uhispania), na kundi D (Australia, Fiji, Samoa na Urusi).
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |