Norton ambaye aliingia duru mbili za bara la Asia mjini Hong Kong na Singapore nakufanikiwa kuweka rekodi ya miguso 244, aliimarisha rekodi yake alipofunga miguso mitatu - mguso dhidi ya Japan, Afrika Kusini na Kenya katika duru ya Singapore Sevens iliyokamilika Aprili 16 baada ya siku mbili ya mashindano.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |