CS Sfaxien ilifika hatua hiyo baada ya kuishinda Rail Club du Kadiogo ya Burkina Faso kwa mabao 4-1 katika mchezo wa marudiano. Mchezo wa kwanza Sfaxien ilishinda mabao 2-1 wakiwa ugenini Burkina Faso, na kupata mabao 2-0 katika mchezo huo wa marudiano uliochezwa Tunisia.
Mabao ya timu hiyo ya Tunia yamefungwa na Maher Hannachi na Karim Aouadhi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |