Ofisi ya mradi wa China wa kupeleka wanaanga kwenye anga ya juu imesema, chombo cha kupeleka mizigo kwenye anga ya juu cha Tianzhou-1 kitarushwa saa 1 na dakika 41 kesho jioni.
Habari zinasema, baada ya chombo cha Tianzhou-1 kurushwa angani, kitaingia kwenye njia yake yenye umbali wa kilomita 380 kutoka ardhi, na kuunganishwa na maaraba ya anga ya juu ya Tiangong-2 inayofanya kazi katika mzingo huo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |