Filamu inayoitwa "Wakati umeenda wapi?" iliyotengenezwa kwa pamoja na waongozaji watano wa filamu kutoka nchi tano za BRICS, ambao ni Bw Jia Zhangke wa China, Bw Walter Salles wa Brazil, Bw Aleksey Fedorchenko wa Russia, Bw Jahmil X.T. Qubeka wa Afrika Kusini na Bw Madhur Bhandarkar wa India, inatarajiwa kuoneshwa kwa mara ya kwanza kwenye ufunguzi wa tamasha hilo.
Msimamizi mkuu wa filamu hiyo Bw Jia Zhangke amesema filamu hiyo inaweza kuonyesha busara za nchi hizo tano na kuzidisha mawasiliano kati ya watu wa nchi za BRICS.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |