Baraza la ulinzi wa katiba la Iran limetangaza orodha ya wagombea sita wa urais kwenye uchaguzi mkuu ujao, rais wa zamani Mohamoud Ahmadinejad hayumo kwenye orodha hiyo. Taarifa iliyotolewa na wizara ya mambo ya ndani ya Iran inasema, wagombea hao sita wanaweza kufanya kampeni zao hadi tarehe 18 Mei, siku moja kabla ya uchaguzi kufanyika nchini humo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |